SHARING VIEWS AND INTEREST ABOUT THE SURROUNDING ENVIRONMENT AND PLANNING FOR THE USE OF THE RESOURCES. ANY EVENT TO US IS AN OPPORTUNITY
Monday, February 7, 2011
WANAFUNZI VYUO VIKUU
Tanzania haina hela ya kuwawezesha wanafunzi vyuo vikuu kuendelea na masomo kwa kuwapa mikopo kwa muda, lakini hela za DOWANS zipo, heri wananchi waumia kwa kulipa kodi, bidhaa kupanda bei ilimradi DOWANS ilipwe. Tanzania kila siku tunalalamika misaada, yanini kama mnapigania mamilioni ya Rostam na interest zake pamoja na mabilion ya DOWANS?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment