Monday, February 7, 2011

WANAFUNZI VYUO VIKUU

Tanzania haina hela ya kuwawezesha wanafunzi vyuo vikuu kuendelea na masomo kwa kuwapa mikopo kwa muda, lakini hela za DOWANS zipo, heri wananchi waumia kwa kulipa kodi, bidhaa kupanda bei ilimradi DOWANS ilipwe. Tanzania kila siku tunalalamika misaada, yanini kama mnapigania mamilioni ya Rostam na interest zake pamoja na mabilion ya DOWANS?

No comments:

Post a Comment