Monday, February 7, 2011

SWALI

Maandamano TZ yanaleta mabadiliko? au watu wanachomwa na jua wengine kuambulia vilema kutokana na kupigwa na police,? kwani watu kudai haki zao wanazuiliwa, ina maana kuna wenye haki zaidi ya wengine? kwanini ktk maandamano Arusha Dr Slaa na Ndesamburo walikamatwa wakafungiwa ndio kichapo kikatembea sio kwamba waliwahifadhi? au wanaogopa kuwavunja mikono kama walivyo fanya kwa Lipumba? tufikirie njia nyingine ya kudai haki zetu vinginevyo wananchi tutaangamia huku wakubwa wetu wakilindana;

No comments:

Post a Comment